Mwenyekiti wa iliyokuwa SHIWATA ambayo sasa itajulikana kama Mtandao wa Wasanii Tanzania, Bw.Twalib akipokea cheti cha usajili wa mtandao huo kutoka kwa Katibu Mtendaji wa BASATA, Bw. Materego. Pichani juu: Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Bw.Ghonche Materego, akizungumza katika hafla fupi ya kuwakabidhi cheti kipya cha usajili viongozi wa lililokuwa Shirikisho la Wasanii Tanzania (SHIWATA) ambalo kwa sasa litajulikana kama Mtandao wa Wasanii Tanzania
Msanii na Mjumbe kutoka iliyokuwa SHIWATA mbayo sasa inakuwa mtandao wa wasanii, Ahmed Olotu a.k.a Mzee Chilo, akitoa shukrani kwa Katibu Mtendaji wa BASATA, Bw.Materego.
Sehemu ya wanachama wa SHIWATA waliohudhuria hafla hiyo ya kukabidhiiwa Chet |
No comments:
Post a Comment